Monday, January 7, 2013

"Kwa Mara ya Kwanza Nchini Tanzania .... Jifunze Sound na Swaga za Kijanja za Kula Mzigo Fasta,


Kutongoza ni sanaa ya ushawishi, ambayo lengo lake ni kula mzigo. Kuna sanaa zingine za ushawishi kama vile ushawishi wa kibiashara ambapo lengo ni kuuza bidhaa. Na kuna ushawishi wa kisiasa ambapo lengo ni kupata kura. Wakati sanaa karibia zingine zote za ushawishi ni rahisi kujifunza, sanaa ya kutongoza watu wengi wanasema eti haifundishwi ... eti kila mwanaume anajua kutongoza. Sio Kweli !!! Sio kweli kwamba kila mwanaume anajua kutongoza, kwa sababu kuna mwanaume anaweza akongea na demu mpya leo na akala mzigo leo leo, au akichelewa sana basi ndani ya wiki moja; wakati huo huo kuna wanaume wengine wanahangaika miezi au hata miaka kula mzigo. Au wengine wanatoboka sana mifukoni .... unakuta mtu anampangishia demu nyumba, au anamlipia ada ndio ale mzigo. Wakati huo huo kuna wengine wanakula hapo hapo bure, tena bila kunawa! Wanawake ni watu wa vikwazo. Wenyewe wanasema wanaweka vikwazo ili kukupima kama una "mapenzi ya kweli". Unachotaka wewe ni kimoja. Kula mzigo. Maana inabidi ule mzigo kwanza, ndo ujue kama uendeleze mapenzi yawe ya kweli ... au upotezee. Au sio mzee? Ila yeye atakuwekea vikwazo kibao kama vifuatavyo: Niko kwenye period Nina boyfriend / mume / mchumba Ninaumwa (malaria/tumbo/ kichwa/n.k.) Mama yangu mgonjwa Niko bize na kazi Nimeokoka nampenda Yesu! Mwanaume wangu ni Yesu tu! Wiki hii nina test (kwa wanavyuo) Mi sitaki mambo hayo, mpaka nimalize masomo nipate na kazi Mi bado mdogo Sitaki!! Nyumbani kwetu geti kali siwezi kutoka Wewe sio mwanaume wa type yangu (mfupi sana/ mweusi sana/mweupe sana/ huna hela/n.k.) Mi sitoki/siongei na watu nisiowajua (strangers) Sijisikii kuwa na wewe / sikupendi! na kadhalika Je ni mara ngapi umekwamishwa na mojawapo ya vikwazo kama hivyo hapo juu? Utajisikiaje nikikwambia kuwa vikwazo vya dizaini hiyo vingi ni geresha tu ... sio vikwazo kwa maana ya vikwazo bali ni fursa nzuri kwako kupata unachotaka? Na bomba zaidi je unajua mbinu za kutumia ili kumfanya mwanamke asikupe kabisa vikwazo kama hivyo? Ukimtongoza mwanamke vibaya atakuwekea vikwazo vingi na hata kama utampata atakuwa ashakuzungusha sana na kukupotezea muda na pesa. Ukiwa na mbinu za kuzuia vikwazo maisha yako yatakuwa rahisi zaidi.

No comments:

Post a Comment